- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
4 days ago
Michuzi
1 week ago
Michuzi
Prof Adolf Mkenda to grace 2nd meeting of the EAC Joint Facilitative Committee in Arusha

Registrar of the African Court Dr Robert Eno (l) explains on the Court’s Library operations to the Permanent Secretary of Tanzania’s Ministry of Foreign...
1 week ago
AllAfrica.Com13 Apr
Tanzania: Scores Faint At Burial of Arusha Flood Victim
AllAfrica.com
Katesh — Scores of mourners at Gehandu village in Hanang district, Manyara region fainted on Thursday during the burial of an Arusha flood victim Ms Neema Bajuta. The villagers were visibly shaken as they interned the remains of the 29-year old lady ...
1 week ago
Michuzi
NCAA YADHAMINI NGORONGORO MARATHON
Na Yusuph Mussa, Tanga
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongo (NCAA) imedhamini mashindano ya Ngorongoro Marathon kama sehemu ya njia ya kukuza utalii kwenye eneo hilo lenye vivutio vya pekee duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari leo (Aprili 11) jijini Tanga, Naibu Mhifadhi wa NCAA Asangye Bangu, alisema mashindano hayo yatakuwa na faida kubwa kwenye nyanja za utalii na kuwezesha watu wengi ndani na nje ya nchi kuvutiwa na hifadhi hiyo.
"Tumeamua kudhamini mashindano haya ya Ngorongoro...
MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongo (NCAA) imedhamini mashindano ya Ngorongoro Marathon kama sehemu ya njia ya kukuza utalii kwenye eneo hilo lenye vivutio vya pekee duniani.
Akizungumza na waandishi wa habari leo (Aprili 11) jijini Tanga, Naibu Mhifadhi wa NCAA Asangye Bangu, alisema mashindano hayo yatakuwa na faida kubwa kwenye nyanja za utalii na kuwezesha watu wengi ndani na nje ya nchi kuvutiwa na hifadhi hiyo.
"Tumeamua kudhamini mashindano haya ya Ngorongoro...
2 weeks ago
Michuzi
NGORONGORO HEROES TUNACHOHITAJI NI USHINDI TU - NINJE

KOCHA Mkuu wa Ngorongoro Heroes Ammy Conrad Ninje amesema wao hawataangalia ni waamuzi gani watakaochezesha mchezo huo ingawa Shirikisho la soka barani Afrika limetoa orodha ya waamuzi watakaotumika katika mchezo huo kutoka Congo Brazaville.
Kumeibuka na mjadala wa kwanini Mwamuzi wa Congo Brazzaville Fitial Charel Just Kokolo ameteuliwa kuchezesha pambano hilo, hata hivyo Ninje amesema hawatakuwa na wasiwasi kwani wanaamini haki itatendeka na kumpata mshindi...
2 weeks ago
Michuzi
JENGO MAMLAKA YA HIFADHI NGORONGORO KIVUTIO CHA KIHISTORIA UTOAJI HUDUMA ZA UTALII JIJINI ARUSHA
Na Hamza Temba - WMU
........................................................
JENGO la kitega uchumi la Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro jijini Arusha ambalo ujenzi wake unatarajiwa kukamilika mwezi juni mwaka huu litakuwa kivutio cha kihistoria cha utoaji wa huduma za utalii hapa nchini.
Hayo yameelezwa jana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla muda mfupi baada ya kukagua jengo hilo ambalo linasemekana kuwa refu kuliko majengo yote jijini Arusha likiwa na jumla ya...
2 weeks ago
AllAfrica.Com09 Apr
Tanzania: Image of Arusha City Hyped As Key to Luring Tourists
AllAfrica.com
Arusha — PRESIDENT John Magufuli winded up his three-day tour of Arusha and Manyara regions yesterday, asking authorities and residents to ensure the precinct's image remains in pristine condition. "Arusha is bouncing back to its exemplary urban ...
2 weeks ago
Michuzi
2 weeks ago
ETurboNews09 Apr
Tanzania's President Magufuli Opens the Pioneer Tourism Police Station in Arusha
eTurboNews
eTurboNews
Tanzanian's President John Magufuli has lauded the members of Tanzania Association of Tour Operators for leading the way in complementing the government efforts in bringing about development. In his brief comment shortly after having been inaugurated ...
2 weeks ago
Michuzi
RAIS DKT MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA KUMSIMIKA MHASHAMU ISAACK AMANI KUWA ASKOFU MKUU JIMBO LA KATOLIKI ARUSHA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakisalimiana na Maaskofu katika Ibada ya Kumsimika Mhashamu Isaack Amani aliyesimikwa kuwa Askofu Mkuu Jimbo la Katoliki la Arusha katika Kanisa la Mtakatifu Theresia la Mtoto Yesu Jimbo Kuu Katoliki jijini Arusha leo Aprili 8, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakisalimiana na mapadri na katika Ibada ya Kumsimika Mhashamu...
2 weeks ago
Michuzi
2 weeks ago
Michuzi
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA NYUMBA ZA POLISI JIJINI ARUSHA LEO


2 weeks ago
Michuzi
Rais Magufuli kuzindua Nyumba za Polisi Arusha ,April 7
Na.Vero Ignatus ,Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pohn Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa nyumba za polisi na vituo vya polisi Jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi jijini hapa DCP Charles Mkumbo amesema kuwa kutakuwa na uzinduzi wa vituo viwili cha Utalii na Diplomasia na kingine ni Kituo cha daraja la kati kilichopo Murieti Jijini Arusha.
Kamanda Mkumbo amesema kuwa kutakuwepo pia na maonyesho mbalimbali ya ...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pohn Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa nyumba za polisi na vituo vya polisi Jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi jijini hapa DCP Charles Mkumbo amesema kuwa kutakuwa na uzinduzi wa vituo viwili cha Utalii na Diplomasia na kingine ni Kituo cha daraja la kati kilichopo Murieti Jijini Arusha.
Kamanda Mkumbo amesema kuwa kutakuwepo pia na maonyesho mbalimbali ya ...
3 weeks ago
AllAfrica.Com03 Apr
Tanzania: Tanganyika-Zanzibar Cup Kicks Off in Arusha Today
AllAfrica.com
Arusha — A TOTAL of 25 teams in Arusha will be locking horns in the 'Muungano Football Cup,' competition starting today in the Urban District. The City's Sports and Culture Officer, Benson Maneno said the idea was hatched by the Arusha City Director ...
3 weeks ago
Malunde31 Mar
MAASKOFU ARUSHA WATEMA CHECHE ‘KANISA HALIWEZI KUNYAMAZISHWA AU KUFUNGWA MDOMO’

Akizungumza katika Ibada ya Ijumaa Kuu, Mwenyekiti wa Umoja, Askofu mstaafu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Josephat Lebulu alisema kanisa limepewa mamlaka ya kuhubiri upendo na amani hivyo hakuna atayeweza kulinyima kusema.
"Kanisa haliwezi kunyamazishwa au kufungwa mdomo. Hiki ni chombo cha...
-
Earth
-
China
-
Davido
-
Masogange
-
Magufuli
-
Wenger
-
Ujenzi
-
Short
-
Passes
-
Jumamosi
Top 10
Tags
Today
22-April-2018 in Tanzania