- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
(Yesterday)
VOASwahili21 Apr
Kenyatta aiambia CNN haki za mashoga sio tatizo Kenya
1 month ago
VOASwahili15 Mar
Kenyatta kukutana na rais Castro nchini Cuba
1 month ago
RFI
Wabunge na Maseneta nchini Kenya waunga mkono mwafaka kati ya rais Kenyatta na Odinga
1 month ago
BBCSwahili
Mkutano wa Kenyatta na Odinga umezua mgawanyiko katika upinzani Kenya?
1 month ago
Zanzibar 2412 Mar
Rais Kenyatta na Raila Odinga waandaa ziara Rasmin ya Nchi nzima
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na hasimu wake ambaye ni kiongozi wa umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, Raila Odinga wamepanga kufanya ziara ya nchi nzima kuhamasisha amani, mshikamano na umoja.
Kwa mujibu wa gazeti la The Star limeripoti kuwa ziara hiyo itaanzia maeneo ambayo vyama vya upinzani nchini humo vina nguvu zaidi na kuendelea maeneo mengine.
Gazeti hilo limeripoti kuwa ziara hiyo itaanzia jimbo la Nyanza ingawaje tarehe rasmi ya ziara hiyo bado haijatangazwa.
Wakati hayo...
1 month ago
RFI
Marekani yapongeza hatua ya Kenyatta na Odinga kumaliza tofauti za kisiasa
1 month ago
MalundeRAILA ODINGA NA RAIS KENYATTA WAFANYA MAZUNGUMZO YA KUFANYA KAZI PAMOJA
Viongozi hao wamekutana na kuzungumza kuhusu kuacha tofauti zao za kisiasa na kutanguliza maslahi ya wananchi wa nchi hiyo kwanza kwa kufanya kazi pamoja kurudisha amani.
“Maisha yetu ya baadaye hayawezi kupimwa kwa Uchaguzi Mkuu unaofuata bali...
1 month ago
VOASwahili09 Mar
Kenyatta, Odinga wafanya mazungumzo
1 month ago
RFI
Kenyatta na Odinga wakutana, wakubaliana kumaliza tofauti za kisiasa
1 month ago
Zanzibar 2409 Mar
Raila Odinga na Uhuru Kenyatta waungana
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekutana na kiongozi wa muungano wa upinzani nchini humo Raila Odinga katika afisi yake Jumba la Harambee, Nairobi.
Mkutano huo umefanyika muda mfupi kabla ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson kuwasili nchini humo kwa ziara ya siku nne.
Marekani imekuwa ikihimiza kufanyika kwa mazungumzo na mashauriano kutatua mzozo wa kisiasa ulioikumba nchi ya Kenya baada ya uchaguzi uliojaa utata mwaka jana.
Bw Odinga alitangulia kuhutubia taifa moja kwa moja...
1 month ago
BBC
Kenya's Uhuru Kenyatta and Raila Odinga pledge reconciliation
1 month ago
BBCSwahili
Rais Kenyatta na kiongozi wa upinzani Odinga, waahidi kuwaunganisha Wakenya
2 months ago
Zanzibar 2406 Mar
Zaidi ya Daktari 500 wagoma kufanya kazi hospitali kuu ya Kenyatta nchini Kenya
Zaidi ya madaktari 500 katika hospitali kuu ya Kenyatta nchini Kenya wamesusia kazi wakitaka kurejeshwa kwa mwenzao aliyesimamishwa kazi baada ya kumfanyia kimakosa mgonjwa upasuaji wa kichwa.
Kadhalika wanadai marupurupu ambayo wanasema hawajalipwa.
Mwenyekiti wa Muungano wa Madaktari nchini, Samuel Oroko, amesema kumsimamisha kazi daktari huyo ilikuwa ni uamuzi ambao hauwezi kutatatua shida zinazoikumba hospitali hiyo.
Muungano huo unataka mfumo mzima wa hospitali kuchunguzwa, ikiwemo...
2 months ago
RFI
Madaktari wanaopata mafunzo Hospitali ya taifa ya Kenyatta wagoma
2 months ago
BBCSwahili
Zaidi ya madaktari 500 katika hospitali kuu ya Kenyatta Kenya wagoma
-
Earth
-
China
-
Davido
-
Masogange
-
Magufuli
-
Wenger
-
Ujenzi
-
Short
-
Passes
-
Jumamosi