(Yesterday)
MichuziBenki ya Barclays Tanzania yasaidia kambi ya upasuaji watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi,yakabidhi kadi za bima ya afya (NHIF) 200 kwa watoto hao.
Mkuu wa Kitengo cha Ukusanyaji Mikopo Isiyolipwa wa Benki ya Barclays Tanzania, Khatibu Mohammedy (wa tatu kushoto,) akikabidhi vifaa vya kusaidia upasuaji wa watoto wenye tatizo la vichwa vikubwa na mgongo wazi kwa Kaimu Mkurugenzi wa Tiba wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk.Nicephorus Rutabansibwa (wa pili kushoto), katika hafla ambayo Barclays pia ilitoa msaada wa kadi za Bima ya Afya (NHIF), kwa watoto 200 pamoja na kuwezesha kambi ya siku moja ya upasuaji wa watoto 30 wenye...
3 days ago
VOASwahili21 Apr
Kenyatta aiambia CNN haki za mashoga sio tatizo Kenya
1 week ago
BBCSwahili
Zitto Kabwe: Kuna tatizo ya namna ambavyo ripoti ya CAG inavyoshughulikiwa
3 weeks ago
Michuzi
TATIZO SUGU LA MIMBA ZA UTOTONI KWA WILAYA YA TUNDURU

4 weeks ago
MichuziRC MASENZA AWAPONGEZA RDO KWA KUTATUA TATIZO LA MAJI KWENYE BAADHI YA VIJIJI VYA WILAYA YA MUFINDI NA KILOLO
4 weeks ago
Zanzibar 2427 Mar
Vitendo vya Udhalilishaji na mimba za umri mdogo bado ni tatizo
Vitendo vya Udhalilishaji na mimba za umri mdogo bado vimekuwa vikiathir jamii na kusababisha wananfunzi kushindwa kuendelea na masomo yao.
Akizungumza na zanzibar24 nje ya kongamano la kuwaelimusha wananfunzi kujiepusha na vitendo hivyo Mkuu wa Wilaya ya Magarib A Kapten Khatib Khamis Mwadini amesema licha ya serikali kuweka azma ya kuwachukulia hatua wafanyaji wa vitendo hivyo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendelea.
Aidha ametowa wito kwa wananchi kuendelea kuripoti kesi za...
4 weeks ago
Michuzi
KAMPUNI YA IVORI IRINGA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI UFUMBUZI WA TATIZO LA SUKARI YA VIWANDANI
KAMPUNI ya Iringa Food and Beverage na Ivori Ltd ya mjini Iringa imempongeza Rais Dk John Magufuli kwa namna alivyolipatia ufumbuzi suala la sukari ya viwandani ikisema litanusuru viwanda vilivyotaka kufungwa kutokana na uhaba wa bidhaa hiyo.
Katika Mkutano wa 11 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) uliofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, Machi 19, pamoja na mambo mengine yanayohusu sukari, Rais Magufuli alisema hakuna sababu kwa taifa kutumia fedha nyingi za...
1 month ago
VOASwahili23 Mar
1 month ago
Michuzi
TANESCO YAWATOA HOFU WATEJA WAO, YASEMA HAKUNA TATIZO KATIKA LUKU

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco)limekanusha taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayodai kutakuwa na tatizo katika mfumo wa manunuzi ya LUKU kuanzia Machi 25 hadi Aprili 5 mwaka huu.
Taarifa hiyo ya kutunga inadai kutokana na hali hiyo wateja wanunue umeme wa kutosha katika kipindi hicho.
Tanesco kupitia Ofisi ya Uhusiano imesema taarifa hizo si za kweli na uzushi wenye nia ya kupotosha umma kwani haijatokea taarifa yoyote kuhusu hitilafu...
1 month ago
Zanzibar 2422 Mar
Mafundi seremala walia na tatizo la mbao
Ukataji misitu kiholela na uchomaji miti umechangia kuwapa ugumu mafundi wa uchongaji zanzibar kushindwa kupata mbao kwa ajili ya kazi zao za ujasiriamali .
Wakizungumza na Zanzibar24 baadhi ya Vijana wanaojishughulisha na fani ya uchongaji wamesema licha ya kuitumia fursa ya kujiajiri wenyewe ili kuondokana na tatizo la ajira lakini bado katika fani hiyo wanakabiliwa na tatizo la upatikanaji wa mbao kwa ajili ya kutengezea vifaa vya matumizi ya nyumbani na maofisini.
Wamesema hivi...
1 month ago
Zanzibar 2420 Mar
Tatizo la Mimba za utotoni bado ni kubwa katika visiwa vya Zanzibar
Tatizo la Mimba za utotoni bado ni kubwa katika visiwa vya Zanzibar na kusababisha kukatisha ndoto za maisha ya baadae kwa watoto wakike.
Akizungumza na Zanzibar24 na Mama mzazi wa Mtoto aliyepata mimba wakati alipokuwa anasoma na kushindwa kuendelea na haki yake ya kielimu amesema tatizo hilo linahitaji mashirikiano ya pamoja ili kuweza kulipatia ufumbuzi kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi hasa wakike kuweza kusoma.
Amesema ndoto na malengo ya mtoto wake yamevunjika baada ya kupata...
1 month ago
Michuzi
JAFO AWAAGIZA WAKUU WA MIKOA KUBUNI MIKAKATI YA KUONDOA TATIZO LA OMBAOMBA MIJINI.
Waziri Jafo aliyasema hayo alipokuwa akizindua Mpango wa Utalii wa Jiji la Dar es salaam ambao umelenga kuvutia watalii mbalimbali kwa kutumia fursa zilizopo ndani ya jiji hilo.Katika uzinduzi huo, Jafo amesema ombaomba hao wamekuwa wakikaa barabarani hali ambayo haileti sura nzuri kwa nchi na kwa wageni mbalimbali...
2 months ago
Zanzibar 2405 Mar
Vijana watakiwa kubuni mbinu za kujiajiri ili kuondokana na tatizo la ajira
Vijana nchni wametakiwa kubuni mbinu za kujiajiri wenyewe zitakazowasaidia katika kujikwamua na tatizo la ajira ambalo limekuwa ni kilio kikubwa kwa taifa hasa kwa vijana wasomi waliomaliza elimu yao ya juu.
Akizungumza na Zanzibar24 Mmoja wa kijana Saleh Salum Saleh aliyeweza kujiajiri wenyewe zaidi ya miaka kumi kwa kazi ya ujasiriamali ya kutengeneza bidhaa zinazotokana na mabati amesema kutokana na uhaba wa ajira kutoka serikali vijana hawana budi kutafuta njia...
2 months ago
Michuzi
Mbunge Mabula apambana kuondoa kero tatizo la Maji Shule za Msingi.

Makabidhiano hayo yamefanyika ofisini za mbunge Jimbo la Nyamagana.
Mwanza kwanza, Tukutane kazini
Tulianza na Mungu, tutaendelea na...
2 months ago
Zanzibar 2402 Mar
Wastara aeleza kilichojiri India aibuka na tatizo jipya
Msanii wa filamu nchini Wastara Juma amedai baada ya kufanyiwa vipimo vyote nchini India amebainika kuwa na tatizo kwenye fuvu lake la kichwa ambapo hilo ndio lililokuwa likimfanya akose usingizi hapo awali bila ya yeye kujitambua.
Wastara ameeleza hayo mara alipowasili katika ardhi ya Tanzania akiwa anatokea nchini India ambako alienda kufanyiwa matibabu ya mguu pamoja na mgongo uliyokuwa unamsumbua kwa kipindi kirefu lakini baada ya kufika huko alikutwa na matatizo mengine tofauti na...
-
Masogange
-
Magufuli
-
Dodoma
-
Viwanda
-
Nmb
-
Protests
-
Political
-
Parties
-
Pamoja
-
Ndoa