- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
AJALI KIVUKO CHA FERI: Gari Latumbukia Baharini Likiwa Na Watu Wawili, Maiti Zaopolewa Baadaye
Watu wawili wamefariki dunia usiku wa kuamkia Aprili 20 baada ya gari aina ya Hiace walilokuwa wamepanda kuserereka na kutumbukia katika Bahari ya HINDI.
HIACE hiyo ambayo namba zake hazikufahamika mara moja , ilipata kadhia hiyo wakati ikiwa tayari imeegesha ndani ya Kivuko cha Mv. Kigamboni kwa lengo la kuvuka kwenda Kigamboni.
Ni siku moja tu baada ya Rais Dakta John Magufuli kuzindua daraja linalounganisha maeneo ya Kigamboni, Feri na Kurasini ambalo lilikuwa likisubiriwa kwa muda mrefu kutatua kero ya usafiri utokanao na Vivuko.
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu Brown Mwakalago, ndugu hao walitoka nyumbani kwao Mkoani Mbeya kwenye msiba wa kaka yao kuja kumalizia matanga kwake Vijibweni Kigamboni.

AJALI KIVUKO CHA FERI
Mpaka Star Tv inaondoka katika eneo la Feri Kigamboni, waokoaji hao walikuwa wamefanikiwa kuiopoa miili yote miwili huku juhudi za kulitoa gari hilo ikionekana kuwa na ugumu kutokana na umbali wa kina cha bahari ambapo gari hilo limezama.
StarTV
Habari Zinazoendana
9 months ago
Malunde23 Jul
GARI LATUMBUKIA MTO WAMI NA KUUA WATU WAWILI

MADEREVA wawili wa kampuni ya Usangu Logistics wamekufa baada ya gari la mizigo walilokuwa wakisafi ri nalo kutumbukia katika Mto Wami uliopo Chalinze, wilayani Bagamoyo.
Akizungumza jana mjini hapa, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Jonathan Shana alisema ajali hiyo ilitokea usiku wa saa 7:00 kuamkia jana. Gari aina ya Scania lenye namba za usajili T857 ARP lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Arusha lilikatika...
4 years ago
GPL
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
1 month ago
Malunde
MKURUGENZI WA TBC APATA AJALI YA GARI KIGOMA, WATU WAWILI WAFARIKI

Na Rhoda Ezekiel- Malunde1 blog
Mkurugenzi wa Shirika la utangazaji TBC Dr. Ayoub Rioba amepata ajali ya gari katika kijiji cha Mgombe kata ya Nyakitonto wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wakitokea wilayani Kibondo kuelekea mjini Kigoma.
Akizungumza leo Jumanne Machi 20,2018 mara baada ya tukio hilo kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Kigoma Martine Otieno amesema ajali hiyo pia imesababisha vifo vya watu wawili.
Aliwataja waliofariki katika ajali hiyo kuwa ni watembea kwa miguu wawili...
2 years ago
Channelten20 Apr
Gari latumbukia Kivukoni Watu 2 wapoteza maisha, 4 wanusurika
Watu wawili wamefariki Dunia kwa kuzama wakiwa katika gari eneo la Feri jijini dsm baada ya gari waliyokuwa wamepanda kutumbukia ghafla baharini mapema leo alfajiri.
Watu hao waliopatwa na mauti inadaiwa walikuwa wakisubiri Kivuko eneo la Fery kwa ajili ya kwenda Upande wa Pili wa Kivuko Kigamboni ambapo wakiwa watu sita kwenye gari, wanne waliteremka na kubakia mwanamke mmoja ambaye inasemakana alikuwa mgonjwa na dereva wa gari hilo.
Vikosi mbali mbali vya jeshi la wananchi JWTZ, Zimamoto,...
2 years ago
Global Publishers20 Apr
Wawili wafariki baada ya gari kuzama baharini
Kikosi cha Uokoaji kikiopoa mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye gari hilo.
WATU wawili wanasadikiwa kufariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Hiace walilokuwemo kuserereka wakati likiingia katika kivuko na kutumbukia baharini leo eneo la Kivukoni jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa mkuu wa kikosi cha Uokoaji cha Zimamoto, tayari mwili wa mtu mmoja mwanaume umepatikana na jitihada za kusaka mwili wa mtu mwingine anayesadikika kuwa ni mwanamke zinaendelea.
4 years ago
Michuzi06 Sep
4 years ago
Michuzi.jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
.jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
4 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.

WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
2 years ago
Habarileo21 Apr
Gari latumbukia Kigamboni, laua 2
WATU wawili wamepoteza maisha baada ya gari waliyokuwa wamepanda iliyokuwa ndani ya Kivuko cha Mv Kigamboni cha jijini Dar es Salaam, kusererekea baharini. Watu hao waliokufa jana alfajiri ni dereva wa gari hiyo aina ya Toyota Hiace, yenye namba za usajili T 271 CRG, aliyefahamika kwa jina moja la Dani na abiria, Nice Mwakalago.