- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
2 years ago
Dewji Blog02 Jan
Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!
Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..
2 years ago
Mwananchi04 Jan
Kombe la Mapinduzi lilete tija Yanga, Azam, Simba
2 years ago
Zanzibar 2401 Oct
Simba, Yanga na Azam wapata mualiko Kombe la Mapinduzi
Mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanategemewa kuanza rasmi tarehe 1 January, 2017 hadi tarehe 13 January, 2017 ambapo vilabu vikubwa kutoka Tanzania Bara Simba, Yanga na Azam tayari wameshapelekewa mualiko wa kushiriki Mashindano hayo.
Akizungumza na Mtandao huu Katibu wa chama cha Soka Visiwani Zanzibar “ZFA” Kassim Haji Salum amesema tayari wameshatoa mualiko kwa timu tatu kubwa za Tanzania Bara.
“Tayari tumeshatoa mualiko kwa timu tatu za Bara wakiwemo Simba, Yanga na Azam zote tumeziomba...
4 months ago
Zanzibar 2427 Dec
Kumekucha: Mapinduzi CUP kuanza rasmi ijumaa, Ratiba kamili hii hapa
2 years ago
Habarileo01 Jan
Yanga, Azam kamili kwa Mapinduzi
YANGA na Azam FC zinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayotarajiwa kuanza keshokutwa mpaka Januari 13 kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.
2 years ago
Dewji Blog29 Aug
Beyonce ashinda tuzo 8 za VMAS 2016, orodha kamili ya washindi ipo hapa
Usiku wa kumkia Jumatatu ya Agosti, 29 nchini Marekani kumefanyika sherehe za utoaji wa tuzo za MTV VMAs 2016 (MTV video music awards) zilizofanyika katika ukumbi wa Madison Square Garden uliopo jijini New York.
Katika tuzo hizo, mwanadada Beyonce ndiyo ameibuka kinara kwa kushinda tuzo nane akiwa katika vipengele 11, mastaa wengine walioshinda ni pamoja na Rihanna na Drake.
Orodha washindi wengine ni;
VIDEO OF THE YEAR
Winner: Beyoncé – “Formation”
Adele – “Hello”
Drake – “Hotline...