- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
Sakata la Lugumi bado halijachacha
Sakata la mkataba baina ya Kampuni ya Lugumi Enterprises na Jeshi la Polisi, halijafa; ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imeliibua ikionyesha madoa lukuki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
2 years ago
Global Publishers19 Apr
Kova aibuka sakata la Lugumi
Kamanda Mstaafu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.
Stori: Ojuku Abraham,
UWAZI
DAR ES SALAAM: Kamanda Mstaafu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (pichani) ameibuka kufuatia ‘kubumburuka’ kwa sakata linalomhusu mfanyabiashara Said Lugumi, anayemiliki kampuni ya Lugumi Enterprises inayodaiwa kuingia mkataba tata na Jeshi la Polisi Tanzania.
Mkataba kati ya Lugumi Enterprises na jeshi hilo ulisainiwa mwaka 2011, ulihusu kufungwa kwa vifaa vya kuchukulia...
2 years ago
Mwananchi21 Apr
Sarakasi ya sakata la Lugumi yaendelea
2 years ago
Mwananchi16 Apr
Bunge lakana sakata la Kampuni ya Lugumi
2 years ago
Mwananchi19 May
Chadema wamgeukia Majaliwa sakata la Lugumi
2 years ago
Mwananchi20 May
Sinema sakata la Lugumi sasa vituoni
2 years ago
Habarileo16 Apr
Utata zaidi sakata la Lugumi, PAC yafafanua
BUNGE la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, limetoa ufafanuzi kuhusu zabuni iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini kwa Kampuni ya Lugumi Enterprises Ltd yenye thamani ya Sh bilioni 37, inayodaiwa kuwa na harufu ya ufisadi.
2 years ago
Global Publishers19 May
Wabongo Wataja Njia 3 za Kumaliza Sakata la Lugumi
Rais John Pombe Magufuli.
DAR ES SALAAM: Sakata la Kampuni ya Lugumi Enterprises inayomilikiwa na Said Lugumi (pichani) kudaiwa kuingia mkataba tata wa mabilioni ya shilingi wa kufunga mashine za kutambua alama za vidole kwenye vituo vya polisi nchini, limeingia mitaani huku baadhi ya Wabongo wakitaja njia 3 za kumaliza ishu hiyo.
Wakizungumza na gazeti hili kwa nyakati tofauti, baadhi ya wananchi walionesha shaka yao kuhusu sakata la Lugumi kuwa gumzo likiumiza vichwa vya wabunge kama vile...
2 years ago
Global Publishers01 Jul
Mjadala wa Sakata la Lugumi Bungeni wazikwa rasmi

2 years ago
MillardAyo16 May
Kamati ya Bunge ya Mambo ya Ndani wameyapendekeza haya kuhusu sakata la Lugumi
May 16 2016 Sakata la Mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises lilitarajiwa kujadiliwa bungeni wakati wa mjadala wa Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kamati ya Bunge Wizara ya Mambo ya Ndani imependekeza suala la Mkataba huo unaohusisha ufungwaji mashine za alama za vidole ‘fingerprint’ usijadiliwe bungeni na badala […]
The post Kamati ya Bunge ya Mambo ya Ndani wameyapendekeza haya kuhusu sakata la Lugumi appeared first on MillardAyo.Com.