- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
Sauti fupi ya maneno ya Polisi walipovamia mkutano shule ya Lucky Vicent
Jana May 18 2017 Polisi walivamia mkutano ulioongozwa na Meya wa Arusha, Shule binafsi za Arusha, Madiwani na viongozi wa dini wa kukabidhi rambirambi walizochanga kwa ajili ya kukabidhi mkono kwa mkono kwa zile familia zilizopatwa na msiba. Sauti ya Polisi walivyoingia na walichosema cha kwanza ilinaswa kwenye vyombo vya Waandishi wa habari kutokana na vyombo hivyo […]
The post Sauti fupi ya maneno ya Polisi walipovamia mkutano shule ya Lucky Vicent appeared first on millardayo.com.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
11 months ago
MillardAyo18 May
Ndani ya mkutano Lucky Vicent Arusha kabla ya Polisi kuvamia (+video fupi)
Leo May 18 kwenye shule ya Lucky Vicent Arusha, Polisi walivamia mkutano ulioongozwa na Meya wa jiji hilo akiambatana na viongozi wa dini, Madiwani na Waandishi wa habari ambao Meya alidai lengo lake ni kukabidhi rambirambi walizozichanga wao kutokana na msiba wa ajali ya Wanafunzi wa shule ya Lucky Vicent. Wakati viongozi hao wakiendelea kuhojiwa na […]
The post Ndani ya mkutano Lucky Vicent Arusha kabla ya Polisi kuvamia (+video fupi) appeared first on millardayo.com.
11 months ago
Mwananchi11 May
Mmiliki wa Shule ya Lucky Vicent aendelea kushikiliwa na Polisi
11 months ago
Zanzibar 2411 May
Polisi Arusha waeleza chanzo cha vifo katika ajali ya basi la Shule ya Lucky Vicent
Ajali ya basi la Shule ya Lucky Vicent iliyotokea Mei 6, 2017 katika eneo Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha na kusababisha vifo vya wanafunzi 32, walimu wawili na dereva mmoja vifo hivyo vingeweza kupungua kama kama basi hilo lingekuwa na mikanda na kila mmoja akaufunga kabla ya kuanza safari.
Kamanda wa Polisi Msaidizi wa Mkoa wa Arusha, Yusuf K Ilembo amesema kuwa wengi waliofariki katika ajali ile ni kutokana na kuumia ndani ya mwili kulikosababishwa na kugongana wakati ajali...
11 months ago
Mwananchi15 May
Shule ya Lucky Vicent yafunguliwa
11 months ago
Mwananchi14 May
Ukimya watawala shule ya Lucky Vicent
12 months ago
Mwananchi07 May
Shule ya Lucky Vicent yafungwa, Lema afika kutoa pole
11 months ago
Mwananchi09 May
Lucky Vicent shule kinara iliyoacha vilio kwa Taifa
11 months ago
Mwananchi10 May
Majeruhi wa Shule ya Lucky Vicent kupelekwa Marekani kwa matibabu
11 months ago
Mwananchi12 May
Mmiliki wa Lucky Vicent, makamu mkuu wa shule waachiwa kwa dhamana