- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
UEFA: Leicester City watolewa Ligi ya Mabingwa na Atlético Madrid

Safari ya Leicester City katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu huu imefikia kikomo baada ya klabu hiyo ya Uingereza kutoka sare na Atletico Madrid uwanjani King Power.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
2 years ago
Dewji Blog11 Apr
Hatimaye Leicester City yafuzu kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA
Vinara wa Ligi Kuu ya Uingereza, Leicester City imejihakikishia nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA kwa mara ya kwanza baada ya kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa bila dhidi ya Sunderland.
Magoli ya Leicester katika mchezo huo yote mawili yalifungwa na Jamie Vardy katika daika ya 66 na 90 na hivyo kuiwezesha Leicester kufikisha alama 72 ambapo zimewawezesha kupata nafasi ya kushiriki mashindano makubwa kwa vilabu Ulaya.
Mara ya mwisho kwa Leicester kushiriki mashindano...
4 years ago
Michuzi
Atlético Madrid yampoka Barcelona Ubingwa wa Spain

4 months ago
BBCSwahili
Diego Costa afunga bao mechi ya kwanza baada ya kurejea Atlético Madrid
3 years ago
BBCSwahili19 Mar
Man City watolewa ligi ya mabingwa
1 year ago
BBCSwahili
UEFA: Real Madrid walaza Bayern Munich 4-2 Ligi ya Mabingwa Ulaya
2 years ago
BBCSwahili
Ligi ya Mabingwa: Club Brugge 0-3 Leicester City
2 years ago
BBCSwahili
Leicester City washinda mechi Ligi ya Mabingwa Ulaya
2 years ago
BBCSwahili15 Apr
City wapewa Real Madrid ligi ya mabingwa
2 years ago
Dewji Blog03 May
Leicester City mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Uingereza 2015/2016
Hatimaye baada ya safari ndefu ya Ligi ya Uingreza msimu wa 2015/2016, Leicester City imekuwa bingwa wa ligi hiyo kipenzi cha watu wengi duniani baada ya sare ya goli 2-2 ya jana usiku ya kati ya Chelsea na Tottenham.
Leicester City imetwaa huo kwa kuwa na alama 77 ambazo haziwezi kufikiwa na Tottenham inayoshika nafasi ya pili ikiwa na alama 70 na ikiwa imesalia michezo miwili kwa kila timu kumaliza michezo iliyosalia.
Ubingwa huo umekuja baada ya sare ya goli 2-2 Chelsea na Tottenham...