- 1 HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRILI 22,2017
- 2 Mke Wa Chameleon Adai Talaka Mahakamani
- 3 MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 22,2017
SIKU KAMA YA LEO
Apr 22, 2017POPULAR ON YOUTUBE
Wito kwa Wasanii kushiriki tamasha la Sauti za Busara 2017
Sauti za Busara ni tamasha lifanywalo kila mwaka mwezi wa Febrauri Zanzibar, huonesha muziki wa Afrika yote na kwengineko. Tamasha hilo limo kwenye mtandao wa CNN ilitoa orodha ya matasha 7 ya Afrika ambayo yanamvuto wa kipekee kuyaona.
Pia tamasha la Sauti za Busara limo kwenye matasha 25 bora ya kimataifa na mtandao wa kitalii wa Afro Tourism’s umeliingiza tamasha hili katika matasha 8 bora ya muziki. Na mwezi wa Februari 2015, BBC World Service imelitaja tamasha la Sauti za Busara kama ni ‘moja kati ya matukio muhimu na yenye kuheshimika barani Afrika.
Mwisho wa kupokea maombi kwa wasanii wote ni 31 Julai 2016
Kwa wasanii watakao shiriki katika tamasha, kwa kawaida hulipwa pesa kwa ajiri ya onyesho na matumizi yao wakiwa Zanzibar, ikiwa ni usafiri, malazi, chakula na matumizi madogo madogo. Kwa wasanii kutoka nje kawaida wanatakiwa kutafuta wadhamini wao wenyewe kwa ajili ya usafiri
Jopo la uchaguzi litakutana mwanzoni mwa mwezi wa nane kuchagua wasanii watakao shiriki katika tamasha la Sauti za Busara 2017. Wasanii wote watajulishwa maamuzi ya jopo kwa kupitia barua pepe mnamo mwezi wa tisa
Jinsi ya kuomba kushiriki katika tamasha la Sauti za Busara 2017Maombi yako yatashughulikiwa endapo tutayapokea kabla tarehe 31 Julai. Maombi yako lazima yaambatanishwe na vitu vifuatavyo:
fomu ya maombi iliyojazwa mtandaoni na maelezo mafupi (maneno yasizidi 1000) nakala moja au mbili ya kazi zako za hivi karibuni (CD au DVD) picha moja au mbili(Picha zinaweza kutumwa kwa journey@busara.or.tz)Bonyeza hapa kwa fomu ya maombi.
Tafadhali tuma nakala,picha na maelezo kupitia anwani yetu ya ofisini kama inavyoonekana hapo chini. Vitu vyote vitakavyotumwa lazima viaandikwe FOR PROMOTIONAL USE ONLY.
The post Wito kwa Wasanii kushiriki tamasha la Sauti za Busara 2017 appeared first on DEWJIBLOG.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
4 years ago
Michuzi28 May
WITO KWA WASANII: Sauti za Busara 2015
1 year ago
Dewji Blog24 Jan
Tamasha la Sauti za Busara 2017 kulindima Februari9-12, Wasanii 400 wa Afrika jukwaani Zanzibar
Uongozi wa Busara Promotions wenye makao yake Visiwani Zanzibar, mapema leo 24 Januari 2017, umetoa taarifa kwavyombo vya habari juu ya kufanyika kwa tamasha hilo mwezi ujao yaani 9-12 Februari mwaka huu huku likitarajia kupandisha wasanii 400 kutoka kwa vikundi 40 vya muziki kutoka Bara la Afrika ikiwemo Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Bwana Yusuf Mahmoud ‘DJ Yusuf’ amebainisha kuwa, watu...
1 year ago
Dewji Blog24 Jan
Tamasha la Sauti za Busara 2017 kurindima Februari9-12, Wasanii 400 wa Afrika jukwaani Zanzibar
Uongozi wa Busara Promotions wenye makao yake Visiwani Zanzibar, mapema leo 24 Januari 2017, umetoa taarifa kwavyombo vya habari juu ya kufanyika kwa tamasha hilo mwezi ujao yaani 9-12 Februari mwaka huu huku likitarajia kupandisha wasanii 400 kutoka kwa vikundi 40 vya muziki kutoka Bara la Afrika ikiwemo Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Busara Promotions ambaye pia ni Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Bwana Yusuf Mahmoud ‘DJ Yusuf’ amebainisha kuwa, watu...
4 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wasanii 200 kushiriki Sauti za Busara 2014
VIKUNDI 32 kutoka ndani na nje ya nchi vimechaguliwa kufanya maonesho ya muziki kwenye tamasha la 11 la Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika viwanja vya kihistoria vya Ngome Kongwe visiwani...
3 years ago
Mwananchi21 Feb
Wasanii wa Tanzania ‘wafunikwa’ Tamasha la Sauti za Busara
1 year ago
Michuzi
1 year ago
Dewji Blog10 Feb
Wahapahapa Band wapagawisha tamasha la Sauti za Busara 2017
Tamasha la Sauti za Busara msimu wa 14 limeanza mchana wa jana 9 Februari 2017 huku tukishuhudia vikundi mbalimbali vya Burudani kutoka ndani na nje ya Tanzania ambapo viliweza kutoa burudani ya aina yake.
Jioni burudani hiyo iliamia ndani ya viunga vya Ngome Kongwe ambapo majukwaa mawili ya burudani yaliyosheheni vifaa vya kisasa vya muziki Kimataifa. Jukwaa la Amphitheatre na jukwaa kuu la Mambo Club
Vikundi 9 vya burudani viliweza kukonga nyoyo watu mbalimbali kutoka mataifa tofauti...
2 years ago
Dewji Blog29 Apr
Muda ndio huu wa kuomba ushiriki wa tamasha la Sauti za Busara 2017
1 year ago
Dewji Blog12 Feb
Matukio ya picha mbalimbali za tamasha la Sauti za Busara, usiku wa 11 Februari 2017
Tamasha la Sauti za Busara msimu wa 14 linaloendelea visiwani hapa limezidi kunoga huku kwa kila anayefika kulishuhudia akipata kukonga nyoyo zake kwa namna ya uhondo ona uhodari wa vikundi mbalimbali vinavyota burudani katika majukwaa matatu tofauti yaliyokizi viwango.
Yafuatayo ni baadhi ya matukio ya picha katika shoo ya jioni na usiku wa jana 11 Februari 2017. Vikundi mbalimbali vimeweza kuonesha uwezo wao jukwaani.
Tausi Women Taarab